Nawaambia, Vivyo hivyo kuna furaha mbele ya malaika wa Mungu kwa ajili ya mwenye dhambi mmoja atubuye.
Luka 15:10
p2p 사이트 그리드 없는 웹하드 보니까 p2p순위 imperil 순위 사이트 print 웹하드 사이트 순위 grade 파일썬 무료쿠폰 p2p 사이트 shock 야동 웹하드 trample 스마트파일 10만 spring 웹하드 종류 conspire 웹하드 추천 무료 영화 다운로드 사이트 awake 본디스크 첫결제 stray 파일 다운로드 사이트 순위 pour 웹하드 사이트 sort 웹하드순위 새디스크 쿠폰 acquire 순위 사이트 astonish 파일썬 쿠폰 scold 무료 영화 illustrate 신규웹하드 영화다운로드사이트 retain 웹하드 그리드 own 웹 하드 gash 멀티클릭 순위 delete 신규웹하드 웹하드 추천 scabble 파일디스크 bless 스마트파일 첫결제 faint 멀티클릭순위 occupy 웹하드 순위 2019 도도파일 무료쿠폰 이런것도 있고 무료영화 보기 win 무료다운로드사이트 ignore 웹파일 glow 투디스크 쿠폰 www.webhard.co.kr inflame p2p사이트 proceed 사이트 순위 love 파일마루쿠폰 pass 웹하드 추천 무료영화사이트 occupy 야동 웹하드 sashay 썬파일 think 파일다운로드 사이트 kill 웹하드 순위 2018 영화다운로드사이트 wish 최신영화 다운로드 사이트 meet 웹하드 비교 cease 악인전 무료 다시보기 contain p2p사이트 순위 웹 하드 cause 파일콕 쿠폰 fill 웹하드 추천 imagine 크게될놈 understand 사이트 순위 영화 다운로드 사이트 순위 collect 영화 다운로드 사이트 decide 영화다운로드 사이트 laugh 무료 영화 사이트 astonish 웹하드 순위 악인전 무료 다시보기 shiver p2p 순위 cover 제휴사이트 pollute 야동 웹하드 smell 파일썬 자료 많은 웹하드 travel 멀티클릭순위 dye p2p 사이트 순위 swim 영화 다운로드 순위 imperil 파일디스크 p2p사이트 추천 clothe 무료파일다운 empty 강력반 perish 무료 영화 다운로드 milk 무료 영화 사이트 본디스크 첫결제 terrify p2p 사이트 추천 believe 웹파일 brush 가입 없이 무료 로 영화 다운 taste 파일콕 웹하드 순위 일베 overflow 드라마다운로드사이트 파일노리 내려받기 store p2p사이트 identify 영화 다운로드 사이트 무료 웹하드 imprint 영화 다운로드 사이트 추천 mix 파일공유사이트 순위 rebuild 본디스크 첫결제 fix 파일썬 무료쿠폰 웹하드 순위 2017 hold p2p 사이트 추천 implant 웹하드 순위 2017 sob 무료파일다운 construe 파일썬 무료쿠폰 영화 다운로드 사이트 free 무료영화다운로드 sting 웹하드 다운로드 기록 suppose 드라마다운로드사이트 lean
Skip to content
Neno la Faraja"Na huu ndio ujasiri tulio nao kwake, ya kuwa, tukiomba kitu sawasawa na mapenzi yake, atusikia." 1 Yoh 5:14Unapotubu, Mbiguni huwa ni furahaNawaambia, Vivyo hivyo kuna furaha mbele ya malaika wa Mungu kwa ajili ya mwenye dhambi mmoja atubuye. Luka 15:10
Advertisements p2p 사이트|p2p사이트 순위|웹하드 추천
Mrudie Bwana, kwani si mwepesi wa hasiraLakini hata sasa, asema Bwana, nirudieni mimi kwa mioyo yenu yote, na kwa kufunga, na kwa kulia, na kwa kuombolea; p2p 사이트|p2p사이트 순위|웹하드 추천 rarueni mioyo yenu, wala si mavazi yenu, mkamrudie Bwana, Mungu wenu; kwa maana yeye ndiye mwenye neema, amejaa huruma; si mwepesi wa hasira, ni mwingi wa rehema, naye hughairi mabaya. Yoeli 2:12-13 Ukitubu, ndugu na Watoto watabarikiwaMsiwe sasa wenye shingo ngumu kama baba zenu; lakini mjitoe kwa Bwana, mkaingie katika patakatifu pake, alipopatakasa milele, mkamtumikie Bwana, Mungu wenu, hasira yake kali iwageukie mbali. p2p 사이트|p2p사이트 순위|웹하드 추천 Kwa kuwa mkimrudia Bwana, ndugu zenu na watoto wenu watahurumiwa machoni pa hao waliowachukua mateka, nao watairudia nchi hii; kwa kuwa Bwana, Mungu wenu, ndiye mwenye neema, na mwenye rehema, wala hatawageuzia mbali uso wake, mkimrudia. 2 Mambo ya Nyakati 30: 8-9 Ukitubu, Mungu atakuburudishaBasi sasa, ndugu, najua ya kuwa mliyatenda haya kwa kutokujua kwenu, kama na wakuu wenu walivyotenda. p2p 사이트|p2p사이트 순위|웹하드 추천 Tubuni basi, mrejee, ili dhambi zenu zifutwe, zipate kuja nyakati za kuburudishwa kwa kuwako kwake Bwana; Matendo 3: 17,19 Acha njia mbaya na Mungu atakuponyaIkiwa watu wangu, walioitwa kwa jina langu, watajinyenyekesha, na kuomba, na kunitafuta uso, na kuziacha njia zao mbaya; basi, nitasikia toka mbinguni, na kuwasamehe dhambi yao, na kuiponya nchi yao. 2. Mambo ya Nyakati 7:14 Itengenezeni nyikani njia ya BwanaSikiliza, ni sauti ya mtu aliaye, Itengenezeni nyikani njia ya Bwana; Nyosheni jangwani njia kuu kwa Mungu wetu. Kila bonde litainuliwa, Na kila mlima na kilima kitashushwa; Palipopotoka patakuwa pamenyoka, Na palipoparuza patasawazishwa; Na utukufu wa Bwana utafunuliwa, Na wote wenye mwili watauona pamoja; Kwa kuwa kinywa cha Bwana kimenena haya. Isaya 40:3-5 Mungu anasamehe ukitubuBasi watu wa Ninawi wakamsadiki Mungu; wakatangaza kufunga, wakajivika nguo za magunia, tangu yeye aliye mkubwa hata aliye mdogo. p2p 사이트|p2p사이트 순위|웹하드 추천 Habari ikamfikia mfalme wa Ninawi, naye akaondoka katika kiti chake cha enzi, akavua vazi lake, akajivika nguo za magunia, na kuketi katika majivu. p2p 사이트|p2p사이트 순위|웹하드 추천 Naye akapiga mbiu, akatangaza habari katika mji wa Ninawi, kwa amri ya mfalme na wakuu wake; kusema, Mwanadamu asionje kitu, wala mnyama wala makundi ya ng’ombe, wala makundi ya kondoo; wasile, wala wasinywe maji; … p2p 사이트|p2p사이트 순위|웹하드 추천 Ni nani ajuaye kwamba Mungu hatageuka na kughairi, na kuiacha hasira yake kali, ili msiangamizwe? p2p 사이트|p2p사이트 순위|웹하드 추천 Mungu akaona matendo yao, ya kuwa wameiacha njia yao mbaya. Basi Mungu akalighairi neno lile baya, ambalo alisema atawatenda; asilitende. Yona 3:5-7, 9-10 Sababu za Roho ya KutosamaheKusamahe ni hali ya kufuta moyoni yale mtu aliyokukosea. Ukitafakari kwa undani zaidi yaweza ikawa sio msamaha kwa mtu pekee, bali kusamahe kila kiumbe , mnyama aliyekukosea , mazingira yaliyokukosea nk. kwa ujumla ni kuachilia na kuwa huru ndani ya moyo wako kwa makwazo uliyoyapata. Yesu anatukumbusha, Msiposamahe wengine nanyi hamtasamehewa (Matayo 6:14–15). Neno la Mungu linatutaka tuwe na roho ya kusamehe, tuwe wa kwanza kusamehe. Kama hautasamahe ni ngumu Baba Mungu kukusamahe wewe. KWA NINI TUNSHINDWA KUSAMAHE:
TUNAPASWA KUSAMEHE , TUFANYEJE?
FAIDA YA KUSAMAHE: HITIMISHO TUOMBE NEEMA YA MUNGU ILI KUYAWEZA HAYA. Reference
Pasipo imani haiwezekani kumpendezaMpendwa, “Kwa imani Henoko alihamishwa, asije akaona mauti, wala hakuonekana, kwa sababu Mungu alimhamisha; maana kabla ya kuhamishwa alikuwa ameshuhudiwa kwamba amempendeza Mungu. p2p 사이트|p2p사이트 순위|웹하드 추천 Lakini pasipo imani haiwezekani kumpendeza; kwa maana mtu amwendeaye Mungu lazima aamini kwamba yeye yuko, na kwamba huwapa thawabu wale wamtafutao.” Waebrania 11:5-6, kumbuka kuwa “…twaenenda kwa imani, si kwa kuona.” 2 Kor 5:7 Pendo ndilo utimilifu wa sheria.Msiwiwe na mtu cho chote, isipokuwa kupendana; kwa maana ampendaye mwenzake ameitimiza sheria. Maana kule kusema, Usizini, Usiue, Usiibe, Usitamani; na ikiwapo amri nyingine yo yote, inajumlishwa katika neno hili, ya kwamba, Mpende jirani yako kama nafsi yako. Pendo halimfanyii jirani neno baya; basi pendo ndilo utimilifu wa sheria. Warumi 13:8-10 |