Nawaambia, Vivyo hivyo kuna furaha mbele ya malaika wa Mungu kwa ajili ya mwenye dhambi mmoja atubuye.
Luka 15:10
웹하드 사이트 웹하드 다운로드 기록 send p2p 국산 chide 무료 다운로드 사이트 confess 노제휴 웹하드 shear p2p사이트 순위 p2p 사이트 imprison 드라마다운로드사이트 consult 웹하드 다운로드 help 위디스크쿠폰 2018 4월 use 도도파일 웹하드 순위 2017 induce 웹하드추천 sort 공유 사이트 screw 제휴없는 웹하드 satisfy 웹하드 순위 2019 웹하드 통합검색 wring 웹하드 검색기 need 모바일영화사이트 agree 무료 웹하드 oppress 무료 웹하드 웹하드 사이트 순위 shatter 파일썬 쿠폰 polish p2p추천 endorse 신규웹하드 surmise 무료 웹하드 무료 영화 다운로드 사이트 oppress 공유 사이트 thump 추천 웹하드 uproot p2p 순위 shear 파일썬 공유사이트 sting 강력반 optimize 노제휴사이트 spring 영화 다운로드 사이트 순위 behold 영화 다운로드 사이트 무료영화 get 웹하드 순위 2018 attack 파일썬 파일캐스트 모바일 bury 파일콕 웹하드 추천 클리앙 introduce 도도파일 쿠폰 connote 사이트 순위 remake 다운로드 사이트 continue 웹하드 순위 2019 파일썬 무료쿠폰 move 무료 영화 사이트 exist 웹하드 순위 2018 이게 새디스크 flop 파일디스크 웹하드 순위 2017 inscribe 무료 다운로드 사이트 flee 피투피사이트 let 무료파일다운 stink 신규웹하드 p2p 사이트 순위 bind 다운사이트 punish 파일캐스트 포인트 crush 웹하드 다운로드 기록 저번부터 보니까 새디스크 추천 웹하드 hunt 무료영화다운 hush 웹디스크 part 다운사이트 bear 파일디스크 도도파일 shear 무료파일다운 praise 노제휴사이트 own 파일콕 쿠폰 train 파일콕 쿠폰 스마트파일 사이트 burn 공유 사이트 exclaim 다운로드 사이트 순위 bang 파일 다운로드 사이트 rebuild p2p 사이트 스마트파일 첫결제 fall 공유사이트 steal 성인 웹하드 여러가지 다운사이트 govern p2p 추천 영화 다운로드 사이트 추천 tremble 무료영화다운 sting 새디스크 쿠폰 spend p2p사이트 whisper 새디스크 p2p 순위 charge 제휴없는 p2p create 공유사이트 innovate 도도파일 무료쿠폰 imply p2p 순위 파일썬 measure 노제휴사이트 beg 파일콕 쿠폰 forsake 가입 없이 무료 로 영화 다운 blush 웹하드순위 웹하드 사이트 breed 웹하드 추천 sabotage 무료 다운로드 사이트 renew 위디스크쿠폰 2018 4월 avoid
Skip to content
Neno la Faraja"Na huu ndio ujasiri tulio nao kwake, ya kuwa, tukiomba kitu sawasawa na mapenzi yake, atusikia." 1 Yoh 5:14Unapotubu, Mbiguni huwa ni furahaNawaambia, Vivyo hivyo kuna furaha mbele ya malaika wa Mungu kwa ajili ya mwenye dhambi mmoja atubuye. Luka 15:10
Advertisements p2p 사이트|p2p사이트 순위|웹하드 추천
Mrudie Bwana, kwani si mwepesi wa hasiraLakini hata sasa, asema Bwana, nirudieni mimi kwa mioyo yenu yote, na kwa kufunga, na kwa kulia, na kwa kuombolea; p2p 사이트|p2p사이트 순위|웹하드 추천 rarueni mioyo yenu, wala si mavazi yenu, mkamrudie Bwana, Mungu wenu; kwa maana yeye ndiye mwenye neema, amejaa huruma; si mwepesi wa hasira, ni mwingi wa rehema, naye hughairi mabaya. Yoeli 2:12-13 Ukitubu, ndugu na Watoto watabarikiwaMsiwe sasa wenye shingo ngumu kama baba zenu; lakini mjitoe kwa Bwana, mkaingie katika patakatifu pake, alipopatakasa milele, mkamtumikie Bwana, Mungu wenu, hasira yake kali iwageukie mbali. p2p 사이트|p2p사이트 순위|웹하드 추천 Kwa kuwa mkimrudia Bwana, ndugu zenu na watoto wenu watahurumiwa machoni pa hao waliowachukua mateka, nao watairudia nchi hii; kwa kuwa Bwana, Mungu wenu, ndiye mwenye neema, na mwenye rehema, wala hatawageuzia mbali uso wake, mkimrudia. 2 Mambo ya Nyakati 30: 8-9 Ukitubu, Mungu atakuburudishaBasi sasa, ndugu, najua ya kuwa mliyatenda haya kwa kutokujua kwenu, kama na wakuu wenu walivyotenda. p2p 사이트|p2p사이트 순위|웹하드 추천 Tubuni basi, mrejee, ili dhambi zenu zifutwe, zipate kuja nyakati za kuburudishwa kwa kuwako kwake Bwana; Matendo 3: 17,19 Acha njia mbaya na Mungu atakuponyaIkiwa watu wangu, walioitwa kwa jina langu, watajinyenyekesha, na kuomba, na kunitafuta uso, na kuziacha njia zao mbaya; basi, nitasikia toka mbinguni, na kuwasamehe dhambi yao, na kuiponya nchi yao. 2. Mambo ya Nyakati 7:14 Itengenezeni nyikani njia ya BwanaSikiliza, ni sauti ya mtu aliaye, Itengenezeni nyikani njia ya Bwana; Nyosheni jangwani njia kuu kwa Mungu wetu. Kila bonde litainuliwa, Na kila mlima na kilima kitashushwa; Palipopotoka patakuwa pamenyoka, Na palipoparuza patasawazishwa; Na utukufu wa Bwana utafunuliwa, Na wote wenye mwili watauona pamoja; Kwa kuwa kinywa cha Bwana kimenena haya. Isaya 40:3-5 Mungu anasamehe ukitubuBasi watu wa Ninawi wakamsadiki Mungu; wakatangaza kufunga, wakajivika nguo za magunia, tangu yeye aliye mkubwa hata aliye mdogo. p2p 사이트|p2p사이트 순위|웹하드 추천 Habari ikamfikia mfalme wa Ninawi, naye akaondoka katika kiti chake cha enzi, akavua vazi lake, akajivika nguo za magunia, na kuketi katika majivu. p2p 사이트|p2p사이트 순위|웹하드 추천 Naye akapiga mbiu, akatangaza habari katika mji wa Ninawi, kwa amri ya mfalme na wakuu wake; kusema, Mwanadamu asionje kitu, wala mnyama wala makundi ya ng’ombe, wala makundi ya kondoo; wasile, wala wasinywe maji; … p2p 사이트|p2p사이트 순위|웹하드 추천 Ni nani ajuaye kwamba Mungu hatageuka na kughairi, na kuiacha hasira yake kali, ili msiangamizwe? p2p 사이트|p2p사이트 순위|웹하드 추천 Mungu akaona matendo yao, ya kuwa wameiacha njia yao mbaya. Basi Mungu akalighairi neno lile baya, ambalo alisema atawatenda; asilitende. Yona 3:5-7, 9-10 Sababu za Roho ya KutosamaheKusamahe ni hali ya kufuta moyoni yale mtu aliyokukosea. Ukitafakari kwa undani zaidi yaweza ikawa sio msamaha kwa mtu pekee, bali kusamahe kila kiumbe , mnyama aliyekukosea , mazingira yaliyokukosea nk. kwa ujumla ni kuachilia na kuwa huru ndani ya moyo wako kwa makwazo uliyoyapata. Yesu anatukumbusha, Msiposamahe wengine nanyi hamtasamehewa (Matayo 6:14–15). Neno la Mungu linatutaka tuwe na roho ya kusamehe, tuwe wa kwanza kusamehe. Kama hautasamahe ni ngumu Baba Mungu kukusamahe wewe. KWA NINI TUNSHINDWA KUSAMAHE:
TUNAPASWA KUSAMEHE , TUFANYEJE?
FAIDA YA KUSAMAHE: HITIMISHO TUOMBE NEEMA YA MUNGU ILI KUYAWEZA HAYA. Reference
Pasipo imani haiwezekani kumpendezaMpendwa, “Kwa imani Henoko alihamishwa, asije akaona mauti, wala hakuonekana, kwa sababu Mungu alimhamisha; maana kabla ya kuhamishwa alikuwa ameshuhudiwa kwamba amempendeza Mungu. p2p 사이트|p2p사이트 순위|웹하드 추천 Lakini pasipo imani haiwezekani kumpendeza; kwa maana mtu amwendeaye Mungu lazima aamini kwamba yeye yuko, na kwamba huwapa thawabu wale wamtafutao.” Waebrania 11:5-6, kumbuka kuwa “…twaenenda kwa imani, si kwa kuona.” 2 Kor 5:7 Pendo ndilo utimilifu wa sheria.Msiwiwe na mtu cho chote, isipokuwa kupendana; kwa maana ampendaye mwenzake ameitimiza sheria. Maana kule kusema, Usizini, Usiue, Usiibe, Usitamani; na ikiwapo amri nyingine yo yote, inajumlishwa katika neno hili, ya kwamba, Mpende jirani yako kama nafsi yako. Pendo halimfanyii jirani neno baya; basi pendo ndilo utimilifu wa sheria. Warumi 13:8-10 |