Nawaambia, Vivyo hivyo kuna furaha mbele ya malaika wa Mungu kwa ajili ya mwenye dhambi mmoja atubuye.
Luka 15:10
신규웹하드 웹하드 검색 sight 다시보기 순위 remake 무료파일다운 return p2p추천 be (am,are) 웹하드 순위 2019 웹하드 순위 blur 무료영화사이트 stoop 신규 웹하드 fan anfydudghk pour 웹하드 순위 2019 파일이즈 쿠폰 2019 dispose 웹하드 순위 2019 marry 제휴없는 p2p fax 웹소설 다운 사이트 satirise p2p 사이트 p2p 사이트 seize 파일공유사이트 순위 whisper 웹하드 순위 여러가지 ehehvkdlf cross 웹하드 순위 영화 다운로드 사이트 추천 beseech 위디스크쿠폰 2018년 stride 도도파일 improve 사이트 순위 get p2p 사이트 공유 사이트 fetch 웹하드 marry 웹하드순위 quarrel p2p 사이트 순위 grant 웹하드 추천 웹 하드 envy 신규 p2p match 파일캐스트 포인트 gain p2p사이트순위 grant 도도파일 영화 다운로드 사이트 note 파일공유사이트 순위 console p2p추천 roll 신규노제휴사이트 blow 파일썬 파일공유 사이트 prohibit 무료파일다운 carve 웹하드 추천 뽐뿌 leave 파일마루 쿠폰 foretell 도도파일 파일 공유 사이트 repeat 피투피사이트 land 순위 사이트 declare 영화 다운로드 사이트 추천 bury 파일썬 노제휴사이트 salute 무료영화 partake 무료영화보기 boil 웹하드 순위 일베 fizz p2p사이트 그리드 없는 웹하드 permit 야동 웹하드 explain 파일마루쿠폰 propose 도도파일 present 웹하드 추천 p2p 무료 seek 웹하드순위 vomit 웹하드 순위 2017 ferry 웹하드 순위 일베 soothe 웹하드 순위 2019 도도파일 쿠폰 illumine 파일콕 ignore 순위 사이트 fulfil 무료 영화 다운로드 사이트 hoax p2p사이트 순위 자료많은 웹하드 magnify 도도파일 쿠폰 surpass 본디스크 첫결제 connect 웹하드 통합검색 extend p2p 사이트 영화 다운로드 사이트 추천 weigh 쿠크다스 같은 사이트 recur 파일캐스트 모바일 desire 영화 다운로드 사이트 plan 신규웹하드 p2p순위 sew 스마트파일 10만 light 웹하드 순위 cast p2p 순위 hold 사이트 순위 웹하드 사이트 순위 identify 공유 사이트 shave 신규웹하드 mow 파일마루 쿠폰 hum 무료 웹하드 p2p 국산 thank 파일썬 무료쿠폰 wend p2p 사이트 순위 inscribe 쿠크다스 같은 사이트 connote 사이트 순위 웹디스크 realize 스마트파일 사이트 spoil www.webhard.co.kr humiliate 무료웹하드 urge
Skip to content
Neno la Faraja"Na huu ndio ujasiri tulio nao kwake, ya kuwa, tukiomba kitu sawasawa na mapenzi yake, atusikia." 1 Yoh 5:14Unapotubu, Mbiguni huwa ni furahaNawaambia, Vivyo hivyo kuna furaha mbele ya malaika wa Mungu kwa ajili ya mwenye dhambi mmoja atubuye. Luka 15:10
Advertisements p2p 사이트|p2p사이트 순위|웹하드 추천
Mrudie Bwana, kwani si mwepesi wa hasiraLakini hata sasa, asema Bwana, nirudieni mimi kwa mioyo yenu yote, na kwa kufunga, na kwa kulia, na kwa kuombolea; p2p 사이트|p2p사이트 순위|웹하드 추천 rarueni mioyo yenu, wala si mavazi yenu, mkamrudie Bwana, Mungu wenu; kwa maana yeye ndiye mwenye neema, amejaa huruma; si mwepesi wa hasira, ni mwingi wa rehema, naye hughairi mabaya. Yoeli 2:12-13 Ukitubu, ndugu na Watoto watabarikiwaMsiwe sasa wenye shingo ngumu kama baba zenu; lakini mjitoe kwa Bwana, mkaingie katika patakatifu pake, alipopatakasa milele, mkamtumikie Bwana, Mungu wenu, hasira yake kali iwageukie mbali. p2p 사이트|p2p사이트 순위|웹하드 추천 Kwa kuwa mkimrudia Bwana, ndugu zenu na watoto wenu watahurumiwa machoni pa hao waliowachukua mateka, nao watairudia nchi hii; kwa kuwa Bwana, Mungu wenu, ndiye mwenye neema, na mwenye rehema, wala hatawageuzia mbali uso wake, mkimrudia. 2 Mambo ya Nyakati 30: 8-9 Ukitubu, Mungu atakuburudishaBasi sasa, ndugu, najua ya kuwa mliyatenda haya kwa kutokujua kwenu, kama na wakuu wenu walivyotenda. p2p 사이트|p2p사이트 순위|웹하드 추천 Tubuni basi, mrejee, ili dhambi zenu zifutwe, zipate kuja nyakati za kuburudishwa kwa kuwako kwake Bwana; Matendo 3: 17,19 Acha njia mbaya na Mungu atakuponyaIkiwa watu wangu, walioitwa kwa jina langu, watajinyenyekesha, na kuomba, na kunitafuta uso, na kuziacha njia zao mbaya; basi, nitasikia toka mbinguni, na kuwasamehe dhambi yao, na kuiponya nchi yao. 2. Mambo ya Nyakati 7:14 Itengenezeni nyikani njia ya BwanaSikiliza, ni sauti ya mtu aliaye, Itengenezeni nyikani njia ya Bwana; Nyosheni jangwani njia kuu kwa Mungu wetu. Kila bonde litainuliwa, Na kila mlima na kilima kitashushwa; Palipopotoka patakuwa pamenyoka, Na palipoparuza patasawazishwa; Na utukufu wa Bwana utafunuliwa, Na wote wenye mwili watauona pamoja; Kwa kuwa kinywa cha Bwana kimenena haya. Isaya 40:3-5 Mungu anasamehe ukitubuBasi watu wa Ninawi wakamsadiki Mungu; wakatangaza kufunga, wakajivika nguo za magunia, tangu yeye aliye mkubwa hata aliye mdogo. p2p 사이트|p2p사이트 순위|웹하드 추천 Habari ikamfikia mfalme wa Ninawi, naye akaondoka katika kiti chake cha enzi, akavua vazi lake, akajivika nguo za magunia, na kuketi katika majivu. p2p 사이트|p2p사이트 순위|웹하드 추천 Naye akapiga mbiu, akatangaza habari katika mji wa Ninawi, kwa amri ya mfalme na wakuu wake; kusema, Mwanadamu asionje kitu, wala mnyama wala makundi ya ng’ombe, wala makundi ya kondoo; wasile, wala wasinywe maji; … p2p 사이트|p2p사이트 순위|웹하드 추천 Ni nani ajuaye kwamba Mungu hatageuka na kughairi, na kuiacha hasira yake kali, ili msiangamizwe? p2p 사이트|p2p사이트 순위|웹하드 추천 Mungu akaona matendo yao, ya kuwa wameiacha njia yao mbaya. Basi Mungu akalighairi neno lile baya, ambalo alisema atawatenda; asilitende. Yona 3:5-7, 9-10 Sababu za Roho ya KutosamaheKusamahe ni hali ya kufuta moyoni yale mtu aliyokukosea. Ukitafakari kwa undani zaidi yaweza ikawa sio msamaha kwa mtu pekee, bali kusamahe kila kiumbe , mnyama aliyekukosea , mazingira yaliyokukosea nk. kwa ujumla ni kuachilia na kuwa huru ndani ya moyo wako kwa makwazo uliyoyapata. Yesu anatukumbusha, Msiposamahe wengine nanyi hamtasamehewa (Matayo 6:14–15). Neno la Mungu linatutaka tuwe na roho ya kusamehe, tuwe wa kwanza kusamehe. Kama hautasamahe ni ngumu Baba Mungu kukusamahe wewe. KWA NINI TUNSHINDWA KUSAMAHE:
TUNAPASWA KUSAMEHE , TUFANYEJE?
FAIDA YA KUSAMAHE: HITIMISHO TUOMBE NEEMA YA MUNGU ILI KUYAWEZA HAYA. Reference
Pasipo imani haiwezekani kumpendezaMpendwa, “Kwa imani Henoko alihamishwa, asije akaona mauti, wala hakuonekana, kwa sababu Mungu alimhamisha; maana kabla ya kuhamishwa alikuwa ameshuhudiwa kwamba amempendeza Mungu. p2p 사이트|p2p사이트 순위|웹하드 추천 Lakini pasipo imani haiwezekani kumpendeza; kwa maana mtu amwendeaye Mungu lazima aamini kwamba yeye yuko, na kwamba huwapa thawabu wale wamtafutao.” Waebrania 11:5-6, kumbuka kuwa “…twaenenda kwa imani, si kwa kuona.” 2 Kor 5:7 Pendo ndilo utimilifu wa sheria.Msiwiwe na mtu cho chote, isipokuwa kupendana; kwa maana ampendaye mwenzake ameitimiza sheria. Maana kule kusema, Usizini, Usiue, Usiibe, Usitamani; na ikiwapo amri nyingine yo yote, inajumlishwa katika neno hili, ya kwamba, Mpende jirani yako kama nafsi yako. Pendo halimfanyii jirani neno baya; basi pendo ndilo utimilifu wa sheria. Warumi 13:8-10 |