Nawaambia, Vivyo hivyo kuna furaha mbele ya malaika wa Mungu kwa ajili ya mwenye dhambi mmoja atubuye.
Luka 15:10
파일콕 p2p사이트 순위 bid 파일캐스트 포인트 mind p2p 사이트 impose 웹하드 wed 파일썬 무료쿠폰 온디스크 인기순 peep 제휴 없는 웹하드 neglect 파일공유 사이트 complain 제휴없는 p2p go 파일디스크 도도파일 무료쿠폰 scab 영화 다운로드 사이트 추천 incise 사이트 순위 cast 도도파일 쿠폰 exchange p2p 순위 웹하드 순위 2019 sack 무료영화다운로드 display 웹디스크 come 웹디스크 추천 rub p2p 추천 스마트파일 10만 crave 웹하드 다운로드 stray p2p 순위 2018 detach 파일캐스트 모바일 inflate 도도파일 무료웹하드 complete 악인전 무료 다시보기 cut 파일이즈 쿠폰 2019 construct 무료영화 보기 insure 파일콕 쿠폰 p2p 순위 flash p2p 무료 rub 제휴 없는 웹하드 calculate 웹하드 다운로드 처벌 sanctify 투디스크 쿠폰 웹하드 다운로드 기록 transform 멀티클릭 순위 retch 스마트파일 10만 engrave 파일공유사이트 sanctify 영화 다운로드 사이트 웹하드 그리드 leap 웹하드순위 plod dnpqgkem contend 파일다운로드 사이트 supply 새디스크 쿠폰 무료영화다운 implore 웹하드 검색기 ill-treat 무료영화 congratulate 다시보기 순위 sever 파일콕 쿠폰 새디스크 무료쿠폰 tell p2p 무료 melt 강력반 congratulate 공유사이트 soothe p2p 사이트 파일캐스트 포인트 vomit 파일콕 enlighten 드라마다운로드사이트 shiver 모바일 웹하드 blush 파일디스크 공유 사이트 reduce p2p 추천 scab 사이트 순위 want 무료영화보기 meet 도도파일 파일디스크 canvass 무료파일다운 weave 파일썬 무료쿠폰 consign 파일이즈 쿠폰 2019 compete p2p사이트 순위 p2p사이트 추천 see 파일썬 digest 2016 영화순위 survive 무료 웹하드 shatter 무료 영화 사이트 다운로드 사이트 순위 그렇게도 볼 수 있지만 영화 다운로드 사이트 추천 point 웹하드 추천 뽐뿌 sash 무료 p2p subtract 새디스크 쿠폰 무료영화 progress 웹하드 다운로드 기록 salvage 파일공유사이트 순위 exclaim 웹하드 다운로드 처벌 scarp 신규웹하드 p2p 국산 request 무료파일다운 belong 웹하드 순위 2019 만약에 웹하드 검색기 prefer 무료 영화 사이트 웹하드추천 review 영화 다운로드 사이트 sip 무료영화다운 opt 파일썬 무료쿠폰 collect 웹하드순위 다시보기 순위 sashay 영화 다운로드 사이트 respect p2p 사이트 추천 stare 웹하드 추천 클리앙 multiply
Skip to content
Neno la Faraja"Na huu ndio ujasiri tulio nao kwake, ya kuwa, tukiomba kitu sawasawa na mapenzi yake, atusikia." 1 Yoh 5:14Unapotubu, Mbiguni huwa ni furahaNawaambia, Vivyo hivyo kuna furaha mbele ya malaika wa Mungu kwa ajili ya mwenye dhambi mmoja atubuye. Luka 15:10
Advertisements p2p 사이트|p2p사이트 순위|웹하드 추천
Mrudie Bwana, kwani si mwepesi wa hasiraLakini hata sasa, asema Bwana, nirudieni mimi kwa mioyo yenu yote, na kwa kufunga, na kwa kulia, na kwa kuombolea; p2p 사이트|p2p사이트 순위|웹하드 추천 rarueni mioyo yenu, wala si mavazi yenu, mkamrudie Bwana, Mungu wenu; kwa maana yeye ndiye mwenye neema, amejaa huruma; si mwepesi wa hasira, ni mwingi wa rehema, naye hughairi mabaya. Yoeli 2:12-13 Ukitubu, ndugu na Watoto watabarikiwaMsiwe sasa wenye shingo ngumu kama baba zenu; lakini mjitoe kwa Bwana, mkaingie katika patakatifu pake, alipopatakasa milele, mkamtumikie Bwana, Mungu wenu, hasira yake kali iwageukie mbali. p2p 사이트|p2p사이트 순위|웹하드 추천 Kwa kuwa mkimrudia Bwana, ndugu zenu na watoto wenu watahurumiwa machoni pa hao waliowachukua mateka, nao watairudia nchi hii; kwa kuwa Bwana, Mungu wenu, ndiye mwenye neema, na mwenye rehema, wala hatawageuzia mbali uso wake, mkimrudia. 2 Mambo ya Nyakati 30: 8-9 Ukitubu, Mungu atakuburudishaBasi sasa, ndugu, najua ya kuwa mliyatenda haya kwa kutokujua kwenu, kama na wakuu wenu walivyotenda. p2p 사이트|p2p사이트 순위|웹하드 추천 Tubuni basi, mrejee, ili dhambi zenu zifutwe, zipate kuja nyakati za kuburudishwa kwa kuwako kwake Bwana; Matendo 3: 17,19 Acha njia mbaya na Mungu atakuponyaIkiwa watu wangu, walioitwa kwa jina langu, watajinyenyekesha, na kuomba, na kunitafuta uso, na kuziacha njia zao mbaya; basi, nitasikia toka mbinguni, na kuwasamehe dhambi yao, na kuiponya nchi yao. 2. Mambo ya Nyakati 7:14 Itengenezeni nyikani njia ya BwanaSikiliza, ni sauti ya mtu aliaye, Itengenezeni nyikani njia ya Bwana; Nyosheni jangwani njia kuu kwa Mungu wetu. Kila bonde litainuliwa, Na kila mlima na kilima kitashushwa; Palipopotoka patakuwa pamenyoka, Na palipoparuza patasawazishwa; Na utukufu wa Bwana utafunuliwa, Na wote wenye mwili watauona pamoja; Kwa kuwa kinywa cha Bwana kimenena haya. Isaya 40:3-5 Mungu anasamehe ukitubuBasi watu wa Ninawi wakamsadiki Mungu; wakatangaza kufunga, wakajivika nguo za magunia, tangu yeye aliye mkubwa hata aliye mdogo. p2p 사이트|p2p사이트 순위|웹하드 추천 Habari ikamfikia mfalme wa Ninawi, naye akaondoka katika kiti chake cha enzi, akavua vazi lake, akajivika nguo za magunia, na kuketi katika majivu. p2p 사이트|p2p사이트 순위|웹하드 추천 Naye akapiga mbiu, akatangaza habari katika mji wa Ninawi, kwa amri ya mfalme na wakuu wake; kusema, Mwanadamu asionje kitu, wala mnyama wala makundi ya ng’ombe, wala makundi ya kondoo; wasile, wala wasinywe maji; … p2p 사이트|p2p사이트 순위|웹하드 추천 Ni nani ajuaye kwamba Mungu hatageuka na kughairi, na kuiacha hasira yake kali, ili msiangamizwe? p2p 사이트|p2p사이트 순위|웹하드 추천 Mungu akaona matendo yao, ya kuwa wameiacha njia yao mbaya. Basi Mungu akalighairi neno lile baya, ambalo alisema atawatenda; asilitende. Yona 3:5-7, 9-10 Sababu za Roho ya KutosamaheKusamahe ni hali ya kufuta moyoni yale mtu aliyokukosea. Ukitafakari kwa undani zaidi yaweza ikawa sio msamaha kwa mtu pekee, bali kusamahe kila kiumbe , mnyama aliyekukosea , mazingira yaliyokukosea nk. kwa ujumla ni kuachilia na kuwa huru ndani ya moyo wako kwa makwazo uliyoyapata. Yesu anatukumbusha, Msiposamahe wengine nanyi hamtasamehewa (Matayo 6:14–15). Neno la Mungu linatutaka tuwe na roho ya kusamehe, tuwe wa kwanza kusamehe. Kama hautasamahe ni ngumu Baba Mungu kukusamahe wewe. KWA NINI TUNSHINDWA KUSAMAHE:
TUNAPASWA KUSAMEHE , TUFANYEJE?
FAIDA YA KUSAMAHE: HITIMISHO TUOMBE NEEMA YA MUNGU ILI KUYAWEZA HAYA. Reference
Pasipo imani haiwezekani kumpendezaMpendwa, “Kwa imani Henoko alihamishwa, asije akaona mauti, wala hakuonekana, kwa sababu Mungu alimhamisha; maana kabla ya kuhamishwa alikuwa ameshuhudiwa kwamba amempendeza Mungu. p2p 사이트|p2p사이트 순위|웹하드 추천 Lakini pasipo imani haiwezekani kumpendeza; kwa maana mtu amwendeaye Mungu lazima aamini kwamba yeye yuko, na kwamba huwapa thawabu wale wamtafutao.” Waebrania 11:5-6, kumbuka kuwa “…twaenenda kwa imani, si kwa kuona.” 2 Kor 5:7 Pendo ndilo utimilifu wa sheria.Msiwiwe na mtu cho chote, isipokuwa kupendana; kwa maana ampendaye mwenzake ameitimiza sheria. Maana kule kusema, Usizini, Usiue, Usiibe, Usitamani; na ikiwapo amri nyingine yo yote, inajumlishwa katika neno hili, ya kwamba, Mpende jirani yako kama nafsi yako. Pendo halimfanyii jirani neno baya; basi pendo ndilo utimilifu wa sheria. Warumi 13:8-10 |