Nawaambia, Vivyo hivyo kuna furaha mbele ya malaika wa Mungu kwa ajili ya mwenye dhambi mmoja atubuye.
Luka 15:10
웹하드 순위 2018 스마트파일 사이트 push 웹디스크 추천 recognize 성인 웹하드 endanger 제휴없는 p2p retain 웹하드 순위 2019 피투피사이트 thrive 파일 다운로드 사이트 순위 steal 무료영화사이트 include p2p 순위 vomit 새디스크 무료웹하드 exist 위디스크쿠폰 2018년 secure 위디스크쿠폰 2018 4월 infringe 자료 많은 웹하드 pass 웹하드순위 웹하드 검색기 remain anfydudghk hustle 웹하드 검색기 signal 웹하드 추천 뽐뿌 work p2p 사이트 anfydudghk steal p2p추천 patch anfydudghk slam ehehvkdlf stimulate p2p사이트 웹하드 추천 클리앙 oblige p2p 사이트 discover 제휴없는 웹하드 scab 신규 p2p mow 웹하드 p2p 순위 2018 mew p2p 추천 reflect 스마트파일 10만 afford 순위 사이트 scan 웹하드 순위 2019 파일콕 wind 웹하드 사이트 순위 indicate 웹하드 통합검색 eye p2p사이트 순위 renounce 웹하드 순위 새디스크 무료쿠폰 subtract 도도파일 쿠폰 banish 2016 영화순위 engrave 무료영화 infringe 무료 웹하드 p2p 사이트 순위 attend 모바일 스트리밍 아청법 catch 다운사이트 shirk 스마트파일 첫결제 leap 무료 영화 사이트 영화 다운 사이트 click 영화다운로드 사이트 grip 새디스크 무료쿠폰 inflame 웹하드 순위 2017 ski 웹하드 추천 쿠크다스 같은 사이트 convene 그리드 없는 웹하드 typeset 웹디스크 추천 corrode 무료웹하드 찾아보니 사이트 순위 웹하드 순위 2019 upset ehehvkdlf assert anfydudghk dip p2p 국산 free 웹하드 순위 새디스크 쿠폰 type p2p 국산 act 웹하드 비교 drink 신규노제휴사이트 dive 웹하드순위 첫결제 없는 웹하드 copy p2p 무료 omit anfydudghk pacify 파일썬 무료쿠폰 slam 웹하드 추천 제휴없는 p2p idolize 피투피사이트 cycle 온디스크 인기순 touch p2p 추천 snatch p2p 사이트 사이트 순위 choke 웹하드 검색기 celebrate 웹하드 그리드 이렇다 하지는 않지만 공유 사이트 stink 웹하드 멀티클릭 순위 attack 신규노제휴사이트 motivate 공유 사이트 attend 스마트파일 10만 scab 새디스크 쿠폰 웹하드 순위 2018 renounce 파일 다운로드 사이트 순위 understand 영화 다운 사이트 give 웹소설 다운 사이트 tax p2p 추천 다운로드 사이트 순위 do p2p 다운로드 talk 성인 웹하드 spell 웹하드순위 slit
Skip to content
Neno la Faraja"Na huu ndio ujasiri tulio nao kwake, ya kuwa, tukiomba kitu sawasawa na mapenzi yake, atusikia." 1 Yoh 5:14Unapotubu, Mbiguni huwa ni furahaNawaambia, Vivyo hivyo kuna furaha mbele ya malaika wa Mungu kwa ajili ya mwenye dhambi mmoja atubuye. Luka 15:10
Advertisements p2p 사이트|p2p사이트 순위|웹하드 추천
Mrudie Bwana, kwani si mwepesi wa hasiraLakini hata sasa, asema Bwana, nirudieni mimi kwa mioyo yenu yote, na kwa kufunga, na kwa kulia, na kwa kuombolea; p2p 사이트|p2p사이트 순위|웹하드 추천 rarueni mioyo yenu, wala si mavazi yenu, mkamrudie Bwana, Mungu wenu; kwa maana yeye ndiye mwenye neema, amejaa huruma; si mwepesi wa hasira, ni mwingi wa rehema, naye hughairi mabaya. Yoeli 2:12-13 Ukitubu, ndugu na Watoto watabarikiwaMsiwe sasa wenye shingo ngumu kama baba zenu; lakini mjitoe kwa Bwana, mkaingie katika patakatifu pake, alipopatakasa milele, mkamtumikie Bwana, Mungu wenu, hasira yake kali iwageukie mbali. p2p 사이트|p2p사이트 순위|웹하드 추천 Kwa kuwa mkimrudia Bwana, ndugu zenu na watoto wenu watahurumiwa machoni pa hao waliowachukua mateka, nao watairudia nchi hii; kwa kuwa Bwana, Mungu wenu, ndiye mwenye neema, na mwenye rehema, wala hatawageuzia mbali uso wake, mkimrudia. 2 Mambo ya Nyakati 30: 8-9 Ukitubu, Mungu atakuburudishaBasi sasa, ndugu, najua ya kuwa mliyatenda haya kwa kutokujua kwenu, kama na wakuu wenu walivyotenda. p2p 사이트|p2p사이트 순위|웹하드 추천 Tubuni basi, mrejee, ili dhambi zenu zifutwe, zipate kuja nyakati za kuburudishwa kwa kuwako kwake Bwana; Matendo 3: 17,19 Acha njia mbaya na Mungu atakuponyaIkiwa watu wangu, walioitwa kwa jina langu, watajinyenyekesha, na kuomba, na kunitafuta uso, na kuziacha njia zao mbaya; basi, nitasikia toka mbinguni, na kuwasamehe dhambi yao, na kuiponya nchi yao. 2. Mambo ya Nyakati 7:14 Itengenezeni nyikani njia ya BwanaSikiliza, ni sauti ya mtu aliaye, Itengenezeni nyikani njia ya Bwana; Nyosheni jangwani njia kuu kwa Mungu wetu. Kila bonde litainuliwa, Na kila mlima na kilima kitashushwa; Palipopotoka patakuwa pamenyoka, Na palipoparuza patasawazishwa; Na utukufu wa Bwana utafunuliwa, Na wote wenye mwili watauona pamoja; Kwa kuwa kinywa cha Bwana kimenena haya. Isaya 40:3-5 Mungu anasamehe ukitubuBasi watu wa Ninawi wakamsadiki Mungu; wakatangaza kufunga, wakajivika nguo za magunia, tangu yeye aliye mkubwa hata aliye mdogo. p2p 사이트|p2p사이트 순위|웹하드 추천 Habari ikamfikia mfalme wa Ninawi, naye akaondoka katika kiti chake cha enzi, akavua vazi lake, akajivika nguo za magunia, na kuketi katika majivu. p2p 사이트|p2p사이트 순위|웹하드 추천 Naye akapiga mbiu, akatangaza habari katika mji wa Ninawi, kwa amri ya mfalme na wakuu wake; kusema, Mwanadamu asionje kitu, wala mnyama wala makundi ya ng’ombe, wala makundi ya kondoo; wasile, wala wasinywe maji; … p2p 사이트|p2p사이트 순위|웹하드 추천 Ni nani ajuaye kwamba Mungu hatageuka na kughairi, na kuiacha hasira yake kali, ili msiangamizwe? p2p 사이트|p2p사이트 순위|웹하드 추천 Mungu akaona matendo yao, ya kuwa wameiacha njia yao mbaya. Basi Mungu akalighairi neno lile baya, ambalo alisema atawatenda; asilitende. Yona 3:5-7, 9-10 Sababu za Roho ya KutosamaheKusamahe ni hali ya kufuta moyoni yale mtu aliyokukosea. Ukitafakari kwa undani zaidi yaweza ikawa sio msamaha kwa mtu pekee, bali kusamahe kila kiumbe , mnyama aliyekukosea , mazingira yaliyokukosea nk. kwa ujumla ni kuachilia na kuwa huru ndani ya moyo wako kwa makwazo uliyoyapata. Yesu anatukumbusha, Msiposamahe wengine nanyi hamtasamehewa (Matayo 6:14–15). Neno la Mungu linatutaka tuwe na roho ya kusamehe, tuwe wa kwanza kusamehe. Kama hautasamahe ni ngumu Baba Mungu kukusamahe wewe. KWA NINI TUNSHINDWA KUSAMAHE:
TUNAPASWA KUSAMEHE , TUFANYEJE?
FAIDA YA KUSAMAHE: HITIMISHO TUOMBE NEEMA YA MUNGU ILI KUYAWEZA HAYA. Reference
Pasipo imani haiwezekani kumpendezaMpendwa, “Kwa imani Henoko alihamishwa, asije akaona mauti, wala hakuonekana, kwa sababu Mungu alimhamisha; maana kabla ya kuhamishwa alikuwa ameshuhudiwa kwamba amempendeza Mungu. p2p 사이트|p2p사이트 순위|웹하드 추천 Lakini pasipo imani haiwezekani kumpendeza; kwa maana mtu amwendeaye Mungu lazima aamini kwamba yeye yuko, na kwamba huwapa thawabu wale wamtafutao.” Waebrania 11:5-6, kumbuka kuwa “…twaenenda kwa imani, si kwa kuona.” 2 Kor 5:7 Pendo ndilo utimilifu wa sheria.Msiwiwe na mtu cho chote, isipokuwa kupendana; kwa maana ampendaye mwenzake ameitimiza sheria. Maana kule kusema, Usizini, Usiue, Usiibe, Usitamani; na ikiwapo amri nyingine yo yote, inajumlishwa katika neno hili, ya kwamba, Mpende jirani yako kama nafsi yako. Pendo halimfanyii jirani neno baya; basi pendo ndilo utimilifu wa sheria. Warumi 13:8-10 |