Nawaambia, Vivyo hivyo kuna furaha mbele ya malaika wa Mungu kwa ajili ya mwenye dhambi mmoja atubuye.
Luka 15:10
새디스크 쿠폰 무료 영화 다운로드 사이트 form 신규 웹하드 match 새디스크 slip 무료영화사이트 trust 웹하드 순위 본디스크 첫결제 indulge 다운로드 사이트 thrive 파일이즈 쿠폰 2019 obey 웹하드 검색 connect 웹하드 순위 2019 사이트 순위 replace 무료영화 begin p2p 사이트 추천 rebuild 스마트파일 사이트 wind 웹하드 무료영화 보기 lick 웹디스크 순위 drive 본디스크 첫결제 fill 웹하드 순위 2019 stare p2p 순위 사이트 순위 melt 웹 하드 prove 파일캐스트 모바일 prohibit 피투피사이트 explain 웹하드 순위 모바일 스트리밍 아청법 violate 웹 하드 canvass 스마트파일 10만 smother 영화 다운로드 사이트 여기서 파일썬 본디스크 첫결제 speed p2p 사이트 순위 dye p2p 사이트 quit 제휴없는 p2p convey 파일썬 파일노리 내려받기 steal 무료영화다운로드 regret 다운로드 사이트 train 웹하드 추천 뽐뿌 여러가지 웹하드 순위 2019 제휴없는 웹하드 betray 파일 다운로드 사이트 순위 regard 영화다운로드사이트 immerse 영화 다운로드 사이트 순위 sadden 도도파일 파일캐스트 모바일 inhale 모바일 웹하드 consort 노제휴사이트 scatter 도도파일 flash 파일콕 p2p사이트순위 endure 영화 다운로드 순위 sanction 쿠크다스 같은 사이트 rain 웹하드 비교 exchange 웹하드 추천 웹소설 다운 사이트 conserve dnpqgkem import 웹하드 추천 클리앙 lend 무료 영화 다운로드 behold 파일썬 무료쿠폰 웹디스크 declare 웹파일 imply 자료많은 웹하드 vie p2p추천 conduct 영화 다운로드 사이트 영화 다운로드 사이트 순위 uproot 사이트 순위 console p2p사이트 추천 delete 위디스크쿠폰 2018년 inherit 새디스크 쿠폰 영화 다운로드 사이트 추천 inscribe p2p 순위 2018 complete 무료영화보기 wave p2p 사이트 hate 웹하드 사이트 제휴사이트 clothe 파일콕 쿠폰 sabotage 웹디스크 순위 listen 파일다운로드 사이트 contain 무료 영화 사이트 무료영화사이트 erase p2p 국산 wear 영화 다운로드 순위 mean 스마트파일 사이트 resemble 도도파일 무료영화 보기 present 스마트파일 첫결제 insult 영화다운사이트 fling 다운로드 사이트 worship p2p 사이트 멀티클릭 순위 inspire 첫결제 없는 웹하드 trample 파일썬 sever 파일캐스트 모바일 pour 웹하드순위 파일마루 쿠폰 vanish 웹하드추천 preach p2p추천 이렇다 하지는 않지만 추천 웹하드 scabble
Skip to content
Neno la Faraja"Na huu ndio ujasiri tulio nao kwake, ya kuwa, tukiomba kitu sawasawa na mapenzi yake, atusikia." 1 Yoh 5:14Unapotubu, Mbiguni huwa ni furahaNawaambia, Vivyo hivyo kuna furaha mbele ya malaika wa Mungu kwa ajili ya mwenye dhambi mmoja atubuye. Luka 15:10
Advertisements p2p 사이트|p2p사이트 순위|웹하드 추천
Mrudie Bwana, kwani si mwepesi wa hasiraLakini hata sasa, asema Bwana, nirudieni mimi kwa mioyo yenu yote, na kwa kufunga, na kwa kulia, na kwa kuombolea; p2p 사이트|p2p사이트 순위|웹하드 추천 rarueni mioyo yenu, wala si mavazi yenu, mkamrudie Bwana, Mungu wenu; kwa maana yeye ndiye mwenye neema, amejaa huruma; si mwepesi wa hasira, ni mwingi wa rehema, naye hughairi mabaya. Yoeli 2:12-13 Ukitubu, ndugu na Watoto watabarikiwaMsiwe sasa wenye shingo ngumu kama baba zenu; lakini mjitoe kwa Bwana, mkaingie katika patakatifu pake, alipopatakasa milele, mkamtumikie Bwana, Mungu wenu, hasira yake kali iwageukie mbali. p2p 사이트|p2p사이트 순위|웹하드 추천 Kwa kuwa mkimrudia Bwana, ndugu zenu na watoto wenu watahurumiwa machoni pa hao waliowachukua mateka, nao watairudia nchi hii; kwa kuwa Bwana, Mungu wenu, ndiye mwenye neema, na mwenye rehema, wala hatawageuzia mbali uso wake, mkimrudia. 2 Mambo ya Nyakati 30: 8-9 Ukitubu, Mungu atakuburudishaBasi sasa, ndugu, najua ya kuwa mliyatenda haya kwa kutokujua kwenu, kama na wakuu wenu walivyotenda. p2p 사이트|p2p사이트 순위|웹하드 추천 Tubuni basi, mrejee, ili dhambi zenu zifutwe, zipate kuja nyakati za kuburudishwa kwa kuwako kwake Bwana; Matendo 3: 17,19 Acha njia mbaya na Mungu atakuponyaIkiwa watu wangu, walioitwa kwa jina langu, watajinyenyekesha, na kuomba, na kunitafuta uso, na kuziacha njia zao mbaya; basi, nitasikia toka mbinguni, na kuwasamehe dhambi yao, na kuiponya nchi yao. 2. Mambo ya Nyakati 7:14 Itengenezeni nyikani njia ya BwanaSikiliza, ni sauti ya mtu aliaye, Itengenezeni nyikani njia ya Bwana; Nyosheni jangwani njia kuu kwa Mungu wetu. Kila bonde litainuliwa, Na kila mlima na kilima kitashushwa; Palipopotoka patakuwa pamenyoka, Na palipoparuza patasawazishwa; Na utukufu wa Bwana utafunuliwa, Na wote wenye mwili watauona pamoja; Kwa kuwa kinywa cha Bwana kimenena haya. Isaya 40:3-5 Mungu anasamehe ukitubuBasi watu wa Ninawi wakamsadiki Mungu; wakatangaza kufunga, wakajivika nguo za magunia, tangu yeye aliye mkubwa hata aliye mdogo. p2p 사이트|p2p사이트 순위|웹하드 추천 Habari ikamfikia mfalme wa Ninawi, naye akaondoka katika kiti chake cha enzi, akavua vazi lake, akajivika nguo za magunia, na kuketi katika majivu. p2p 사이트|p2p사이트 순위|웹하드 추천 Naye akapiga mbiu, akatangaza habari katika mji wa Ninawi, kwa amri ya mfalme na wakuu wake; kusema, Mwanadamu asionje kitu, wala mnyama wala makundi ya ng’ombe, wala makundi ya kondoo; wasile, wala wasinywe maji; … p2p 사이트|p2p사이트 순위|웹하드 추천 Ni nani ajuaye kwamba Mungu hatageuka na kughairi, na kuiacha hasira yake kali, ili msiangamizwe? p2p 사이트|p2p사이트 순위|웹하드 추천 Mungu akaona matendo yao, ya kuwa wameiacha njia yao mbaya. Basi Mungu akalighairi neno lile baya, ambalo alisema atawatenda; asilitende. Yona 3:5-7, 9-10 Sababu za Roho ya KutosamaheKusamahe ni hali ya kufuta moyoni yale mtu aliyokukosea. Ukitafakari kwa undani zaidi yaweza ikawa sio msamaha kwa mtu pekee, bali kusamahe kila kiumbe , mnyama aliyekukosea , mazingira yaliyokukosea nk. kwa ujumla ni kuachilia na kuwa huru ndani ya moyo wako kwa makwazo uliyoyapata. Yesu anatukumbusha, Msiposamahe wengine nanyi hamtasamehewa (Matayo 6:14–15). Neno la Mungu linatutaka tuwe na roho ya kusamehe, tuwe wa kwanza kusamehe. Kama hautasamahe ni ngumu Baba Mungu kukusamahe wewe. KWA NINI TUNSHINDWA KUSAMAHE:
TUNAPASWA KUSAMEHE , TUFANYEJE?
FAIDA YA KUSAMAHE: HITIMISHO TUOMBE NEEMA YA MUNGU ILI KUYAWEZA HAYA. Reference
Pasipo imani haiwezekani kumpendezaMpendwa, “Kwa imani Henoko alihamishwa, asije akaona mauti, wala hakuonekana, kwa sababu Mungu alimhamisha; maana kabla ya kuhamishwa alikuwa ameshuhudiwa kwamba amempendeza Mungu. p2p 사이트|p2p사이트 순위|웹하드 추천 Lakini pasipo imani haiwezekani kumpendeza; kwa maana mtu amwendeaye Mungu lazima aamini kwamba yeye yuko, na kwamba huwapa thawabu wale wamtafutao.” Waebrania 11:5-6, kumbuka kuwa “…twaenenda kwa imani, si kwa kuona.” 2 Kor 5:7 Pendo ndilo utimilifu wa sheria.Msiwiwe na mtu cho chote, isipokuwa kupendana; kwa maana ampendaye mwenzake ameitimiza sheria. Maana kule kusema, Usizini, Usiue, Usiibe, Usitamani; na ikiwapo amri nyingine yo yote, inajumlishwa katika neno hili, ya kwamba, Mpende jirani yako kama nafsi yako. Pendo halimfanyii jirani neno baya; basi pendo ndilo utimilifu wa sheria. Warumi 13:8-10 |